CHAUKIDU secretariat@chaukidu.org

Wasiliana Nasi

Mitandao ya Jamii

Usajili Nairobi 2016

Usajili katika Kongamano

Ili kuhudhuria kongamano la CHAUKIDU Disemba 2016, ni muhimu ujisajili. Tunawahimiza wote wafikirie kujisajili kama wanachama wa CHAUKIDU. Unaweza kujisajili mtandaoni kupitia ukurasa wa CHAUKIDU ambao una kiungo cha PayPal. Ikiwa hili haliwezekani, usajili unaweza kufanywa wakati wa kongamano bila faini.

Viwango vya Ada

 Hadhira

Usajili wa Awali

Usajili wa Kawaida

Wanafunzi wote(Tumia kitambulisho cha chuo)Ksh. 1000.00 au $10.00Ksh. 1000.00 au $10.00
Washiriki wengine wa Afrika Mashariki na barani kote.Ksh. 2000.00 au $20.00Ksh. 2000.00 au $20.00
Washiriki wengine wote kutoka nje ya AfrikaKsh. 15000 au $150.00Ksh. 15000 au $150.00
   

Kiingilio



Gharama ya Dhifa (tarehe 16/12/2016)

Dhifa itakayofanywa siku ya Ijumaa jioni itahusisha chakula cha Kiafrika, divai, vinywaji visivyo vya pombe na burudani (hai). Tutahitaji kujua mapema kidogo wale watakaopenda kushiriki. Itakuwa fahari ya kamati andalizi ikiwa wageni wote watashiriki. Gharama ya dhifa ni kama ifuatavyo:

HadhiraMalipo
Washiriki woteKsh. 1500.00 au $15.00

Reception



Uanachama wa CHAUKIDU

Ili kulipia uanachama wa CHAUKIDU, tafadhali utembelee ukurasa wa CHAUKIDU (chaukidu.org). Tungependa kuwahimiza nyote kujiunga na Chama rasmi. Bofya Hapa Kujiunga na Chama.

Fomu ya Usajili wa Kongamano