CHAUKIDU secretariat@chaukidu.org

All posts by Filipo Lubua

#ChaukiduKilifi2021: Muda wa Ikisiri Umeongezwa

Tuma Ikisiri yako Sasa! Kongamano la Kimataifa la Kilifi 2021 WanaChaukidu na Wadau wa Kiswahili popote mlipo, kongamano la CHAUKIDU la mwaka 2021litafanyika katika Chuo Kikuu cha Pwani, Kilifi Kenya,...

Mkutano Mkuu wa Mwaka 2021

Kwa mujibu wa katiba yetu, kila mwaka tunapaswa kuwa na Mkutano Mkuu unaowashirikisha wanachama wote. Kamatulivyofanya mwaka jana 2020, Mkutano Mkuu wa mwaka huu utafanyika tena kwa njia ya...

Tangazo Na. 04: Orodha ya Wagombea

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAUKIDU 2021 Orodha ya Wagombea wa Nafasi Mbalimbali 1.0 UTANGULIZI 1.1 Tume ya Katiba na Uchaguzi (TKU) inashukuru kwa mwamko na ushiriki mzuri ulioonyeshwa na...

Uchaguzi wa CHAUKIDU 2021 – Tangazo Na. 2

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAUKIDU 2021 Tangazo la Kuanza Kupokea Mapendekezo ya Wagombea 1.0 UTANGULIZI 1.1. Kama tulivyowatangazia hapo awali, TKU inapenda kuwakaribisha wanachama kugombea nafasi mbalimbali za uongozi...

Taarifa ya Uchaguzi Mkuu 2021

Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa CHAUKIDU Wapendwa Wanachama wa Chaukidu, Kama mjuavyo, kila baada ya miaka miwili, chama chetu hufanya uchaguzi mkuu kuwachagua viongozi na wajumbe wa Bodi ya...