CHAUKIDU secretariat@chaukidu.org

MadaZanzibar2018

 

Mada/Majopo ya Zanzibar 2018

  1. Ukuaji na ukuzaji wa Kiswahili kuwa taaluma ya kiakademia kupitia tafiti katika
    nyanja kama Lughawiya, Lughawiyajamii, Pragmatiki, nk
  2. Ufundishaji wa Kiswahili kama lugha ya kigeni (Malengo ya U5 katika
    ufundishaji na ujifunzaji)
  3. Ufundishaji wa Kiswahili nyumbani (elimu ya msingi, sekondari na vyuoni)
  4.  Nafasi ya Kiswahili katika kupanua ajira kwa vijana
  5. Kiswahili na huduma za kijamii
  6. Taaluma za Leksikolojia na Leksikografia
  7. Ufasiri na Ukalimani
  8. Usanifishaji na uhurishaji
  9.  Lahaja zinazoibuka (KiSheng, KiSwanglish, nk)
  10. Hali ya Kiswahili Nchini Rwanda, Burundi, DRC, Kusini Sudan, Uganda na
    visiwa vya Komoro.
  11. Programu za Kiswahili ughaibuni na nyumbani (Kama African Language
    Flagship Initiative, Full bright Hays, nk)
  12. Kuunganisha Kiswahili na fani/taaluma nyengine kama Kiswahili na Sayansi,
    Kiswahili na Afya, Kiswahili na Uandishi wa Habari, nk)
  13.  Kiswahili na Utandawazi (Facebook, Twitter, nk)
  14. Tathmini ya ujuzi wa wanafunzi katika vipengele mbalimbali kama kuzungumza,
    kuandika, kusoma, na kusikiliza
  15. Umilikaji na Umilisi wa Kiswahili
  16. Fasihi ya Kiswahili na Utandawazi
  17. Fasihi ya Kiswahili na Nyenzo mpya za usomaji
  18. Ubidhaishaji wa Fasihi ya Kiswahili
  19. Uchapishaji wa Vitabu vya Kiswahili na Utandawazi
  20. Fasihi ya Kiswahili na Ufasiri/Tafsiri
  21. Taaluma za Kiswahili na Nadharia
  22. Fasihi, Ubunaji na Nadharia
  23. Majarida ya Kiakademia na Ukuaji wa Taaluma