Kila mwanachama anayo haki na jukumu la kuisoma Katiba Inayopendekezwa ambayo ilisambazwa na Mkurugenzi siku kadhaa zilizopita. Baada ya kuisoma kila mwanachama anapaswa kupiga kura yake kwa njia ya...
Kongamano la Chaukidu la pili Afrika Mashariki, lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, jijini Dar es Salaam, Tanzania, lilifana kwa kiasi kikubwa sana. Hizi ni picha mbalimbali zilizopigwa...
Kongamano la Chaukidu la kwanza Afrika Mashariki, lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Afrika Mashariki, jijini Nairobi, Kenya, lilifana kwa kiasi kikubwa sana. Hizi ni picha mbalimbali zilizopigwa...
Picha mbalimbali zilizopigwa katika kongamano la Chaukidu la mwaka 2015 lililofanyika jijini Washington, DC, tarehe 23 Aprili 2015.